Methali 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwadilifu anapopepesuka mbele ya mwovu ni kama bubujiko la maji yaliyochafuka na kisima kilichoharibika.+ Amosi 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 enyi mnaoigeuza haki kuwa pakanga tupu,+ ninyi ambao mmeutupa chini uadilifu.+ Amosi 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,
26 Mwadilifu anapopepesuka mbele ya mwovu ni kama bubujiko la maji yaliyochafuka na kisima kilichoharibika.+
12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,