9Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka kutoka mbinguni mpaka duniani, naye akapewa ufunguo wa shimo refu lisilo na mwisho.*+
9Na malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikaona nyota+ iliyokuwa imeanguka kutoka mbinguni mpaka duniani, naye akapewa ufunguo+ wa shimo la abiso.+