6 naye akaapa kwa Yule anayeishi milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakuna kukawia tena.
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+