8 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema nami tena na kuniambia: “Nenda, ukichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+
8 Na ile sauti+ niliyosikia kutoka mbinguni inasema nami tena na kuniambia: “Nenda, kichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa ambacho kimo mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+