6 Hawa wana mamlaka ya kufunga anga*+ ili mvua isinyeshe+ katika siku zao za kutoa unabii, nao wana mamlaka juu ya maji ili kuyageuza kuwa damu+ na kuipiga dunia kwa kila aina ya mapigo mara nyingi wapendavyo.
6 Hawa wana mamlaka ya kufunga mbingu+ ili mvua isinyeshe+ katika siku zao za kutoa unabii, nao wana mamlaka juu ya maji ili kuyageuza kuwa damu+ na kuipiga dunia kwa kila namna ya mapigo mara nyingi kama vile wanavyopenda.