8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu. Tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu, hakuna jina la hata mmoja wao lililoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha uzima+ cha Mwanakondoo aliyechinjwa.+
8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+