21 Ndipo mvua kubwa ya mawe, kila jiwe likiwa na uzito wa karibu talanta moja,* ikanyesha kutoka mbinguni juu ya watu,+ nao watu wakamkufuru Mungu kwa sababu ya lile pigo la mvua ya mawe,+ kwa kuwa pigo hilo lilikuwa kubwa mno.
21 Na mvua kubwa ya mawe+ iliyo na kila jiwe lenye uzito wa karibu talanta moja ikashuka kutoka mbinguni juu ya wanadamu, na wale wanadamu wakamkufuru+ Mungu kwa sababu ya lile pigo la mvua ya mawe,+ kwa sababu pigo lake lilikuwa kubwa isivyo kawaida.