Ayubu 38:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, umeingia katika maghala ya theluji,+Au, je, unayaona hata maghala ya mvua ya mawe,+ Ayubu 38:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ambayo nimeyaweka kwa ajili ya wakati wa msiba,Kwa ajili ya siku ya pigano na vita?+ Isaya 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Yehova ana mtu mwenye nguvu na aliye hodari.+ Hakika atatupa chini kwa nguvu kama dhoruba ya mawe yenye mngurumo,+ dhoruba yenye kuangamiza, kama dhoruba yenye mngurumo ya maji yenye nguvu, yanayofurika.+
2 Tazama! Yehova ana mtu mwenye nguvu na aliye hodari.+ Hakika atatupa chini kwa nguvu kama dhoruba ya mawe yenye mngurumo,+ dhoruba yenye kuangamiza, kama dhoruba yenye mngurumo ya maji yenye nguvu, yanayofurika.+