17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+ na uadilifu+ kuwa timazi; na mvua ya mawe+ itafagilia mbali lile kimbilio la uwongo,+ na maji yatafurika mahali pa maficho.+
11 “Waambie wale wanaopiga lipu kwa chokaa kwamba huo utaanguka. Mvua kubwa yenye kufurika hakika itakuja, na ninyi, enyi mawe ya mvua, mtaanguka, na mlipuko wa dhoruba utasababisha mpasuko.+