Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, umeingia katika maghala ya theluji,+

      Au, je, unayaona hata maghala ya mvua ya mawe,+

  • Isaya 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+ na uadilifu+ kuwa timazi; na mvua ya mawe+ itafagilia mbali lile kimbilio la uwongo,+ na maji yatafurika mahali pa maficho.+

  • Ezekieli 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Waambie wale wanaopiga lipu kwa chokaa kwamba huo utaanguka. Mvua kubwa yenye kufurika hakika itakuja, na ninyi, enyi mawe ya mvua, mtaanguka, na mlipuko wa dhoruba utasababisha mpasuko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki