4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini, ngome kwa maskini katika taabu aliyo nayo,+ kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua, kivuli+ kutokana na joto, wakati mlipuko wa wenye kuonea ni kama dhoruba ya mvua juu ya ukuta.
8 Utashindana naye kwa mlio wa kushtua utakapokuwa ukimfukuza. Lazima yeye atamfukuza huyo kwa mlipuko wake, ulio mkali katika siku ya upepo wa mashariki.+
22 Nami nitajiingiza mwenyewe katika hukumu+ pamoja naye, kwa tauni+ na kwa damu;+ nami nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mawe,+ moto+ na kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya vikundi vingi vya watu vitakavyokuwa pamoja naye.+