9 “Na wafalme wa dunia waliofanya uasherati* naye na kuishi naye katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake watakapoona moshi unaotokana na kuteketea kwake.
9 “Na wafalme+ wa dunia waliofanya uasherati pamoja naye na kuishi katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga wenyewe kwa huzuni juu yake,+ wanapoutazama moshi+ kutokana na kuungua kwake,