15 Nje kuna mbwa* na wale walio na mazoea ya kuwasiliana na roho, waasherati,* wauaji, waabudu-sanamu, na kila mtu anayependa uwongo na aliye na mazoea ya kusema uwongo.’+
15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’