Kutoka 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa Musa akachukua hema lake na kulipiga nje ya kambi, mbali kidogo na kambi, naye akaliita hema la mkutano. Mtu yeyote aliyetafuta ushauri wa Yehova+ alikuwa akienda kwenye hema la mkutano, lililokuwa nje ya kambi.
7 Sasa Musa akachukua hema lake na kulipiga nje ya kambi, mbali kidogo na kambi, naye akaliita hema la mkutano. Mtu yeyote aliyetafuta ushauri wa Yehova+ alikuwa akienda kwenye hema la mkutano, lililokuwa nje ya kambi.