7 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Nenda kwenye madhabahu, utoe dhabihu yako ya dhambi+ na dhabihu yako ya kuteketezwa, utoe dhabihu ya kufunika dhambi zako mwenyewe+ na za nyumba yako; kisha uwatolee watu dhabihu ya kufunika dhambi zao,+ kama Yehova alivyoamuru.”