7 Halafu Musa akamwambia Haruni: “Nenda karibu na madhabahu, utoe toleo lako la dhambi+ na toleo lako la kuteketezwa, nawe ufanye upatanisho+ kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya nyumba yako; na utoe toleo la watu+ na kufanya upatanisho+ kwa ajili yao, kama vile Yehova alivyoamuru.”