33 Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya patakatifu zaidi,+ na kwa ajili ya hema+ la mkutano na kwa ajili ya madhabahu+ atafanya upatanisho; na kwa ajili ya makuhani na kwa ajili ya watu wote wa kutaniko atafanya upatanisho.+
7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.