Hesabu 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Waisraeli waliondoka kwa agizo la Yehova, na kwa agizo la Yehova walipiga kambi.+ Waliendelea kupiga kambi muda wote ambao wingu hilo lilikaa juu ya hema la ibada.
18 Waisraeli waliondoka kwa agizo la Yehova, na kwa agizo la Yehova walipiga kambi.+ Waliendelea kupiga kambi muda wote ambao wingu hilo lilikaa juu ya hema la ibada.