Hesabu 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wana wa Israeli walikuwa wakiondoka kwa agizo la Yehova, na kupiga kambi kwa agizo la Yehova.+ Siku zote ambazo wingu hilo lilikaa juu ya maskani, walikaa katika kambi.
18 Wana wa Israeli walikuwa wakiondoka kwa agizo la Yehova, na kupiga kambi kwa agizo la Yehova.+ Siku zote ambazo wingu hilo lilikaa juu ya maskani, walikaa katika kambi.