Hesabu 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Chunguzeni ikiwa ni nchi tajiri au maskini,+ ina miti au haina. Ni lazima muwe jasiri+ na kuchukua baadhi ya matunda ya nchi hiyo.” Ulikuwa wakati wa kuiva kwa zabibu za kwanza.+
20 Chunguzeni ikiwa ni nchi tajiri au maskini,+ ina miti au haina. Ni lazima muwe jasiri+ na kuchukua baadhi ya matunda ya nchi hiyo.” Ulikuwa wakati wa kuiva kwa zabibu za kwanza.+