Hesabu 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na jinsi nchi ilivyo, iwapo ni nono au imekonda,+ iwapo kuna miti ndani yake au hakuna. Nanyi mjionyeshe kuwa hodari+ na kuchukua baadhi ya matunda ya nchi hiyo.” Sasa siku hizo zilikuwa siku za matunda yaliyoiva ya kwanza ya zabibu.+
20 Na jinsi nchi ilivyo, iwapo ni nono au imekonda,+ iwapo kuna miti ndani yake au hakuna. Nanyi mjionyeshe kuwa hodari+ na kuchukua baadhi ya matunda ya nchi hiyo.” Sasa siku hizo zilikuwa siku za matunda yaliyoiva ya kwanza ya zabibu.+