Hesabu 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nanyi mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa inayochomwa kwa moto ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja. Mnapaswa kutoa wanyama wasio na kasoro.+
19 Nanyi mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa inayochomwa kwa moto ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja. Mnapaswa kutoa wanyama wasio na kasoro.+