19 Nanyi mtatoa toleo linalotolewa kwa njia ya moto, toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, ng’ombe-dume wawili wachanga na kondoo-dume mmoja na wana-kondoo dume saba kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja.+ Wanapaswa kuwa wasio na kasoro kwa ajili yenu.+