Mambo ya Walawi 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kitu chochote chenye kasoro hamtakitoa,+ kwa sababu hakitawaletea ninyi kibali. Mambo ya Walawi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova. Kumbukumbu la Torati 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+
22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova.
21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+