36 Baadaye Sauli akasema: “Acheni tushuke tuwafuatie Wafilisti usiku na kuwapora mpaka asubuhi wakati wa mapambazuko. Hatutamwacha hai mtu yeyote.” Basi wakasema: “Fanya jambo lolote unaloona ni jema.” Kisha kuhani akasema: “Na tumkaribie Mungu wa kweli mahali hapa.”+