36 Baadaye Sauli akasema: “Na tushuke kuwafuatilia Wafilisti wakati wa usiku, tuwapore mpaka mapambazuko ya asubuhi,+ nasi tusiache hata mmoja kati yao.”+ Nao wakasema: “Lolote lililo jema machoni pako, fanya.” Ndipo kuhani akasema: “Na tukaribie hapa kwa Mungu wa kweli.”+