Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+ Kumbukumbu la Torati 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nawe utawaangamiza watu wote ambao Yehova Mungu wako anawatia mkononi mwako.+ Jicho lako lisiwasikitikie;+ wala usiitumikie miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwako.+
2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+
16 Nawe utawaangamiza watu wote ambao Yehova Mungu wako anawatia mkononi mwako.+ Jicho lako lisiwasikitikie;+ wala usiitumikie miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwako.+