Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”

  • 1 Samweli 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.

  • Zaburi 65:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+

      Ili apate kukaa katika nyua zako.+

      Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+

      Mahali patakatifu pa hekalu lako.+

  • Zaburi 73:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini mimi, kumkaribia Mungu ni kwema kwangu.+

      Nimeweka kimbilio langu katika Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,+

      Ili kutangaza kazi zako zote.+

  • Malaki 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki