21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”
7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+