-
1 Samweli 30:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari,+ mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiathari akamletea Daudi hiyo efodi. 8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nilifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawafikia?” Ndipo Akamwambia: “Wafuatie, kwa maana hakika utawafikia, nawe utawaokoa waliotekwa.”+
-