15 Je, unafikiri kwamba leo ndio mara ya kwanza kwangu kumtafutia mwongozo kutoka kwa Mungu?+ Jambo unalosema, ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia! Nakusihi mfalme usinikasirikie mimi mtumishi wako na nyumba yote ya baba yangu, kwa maana mimi mtumishi wako sikujua lolote kati ya mambo haya.”+