15 Je, ni leo nimeanza kumuuliza Mungu+ kwa ajili yake? Ni jambo lisilowaziwa kwangu! Mfalme asiweke jambo lolote juu ya mtumishi wake wala juu ya nyumba nzima ya baba yangu, kwa maana, kwa habari hizi, mtumishi wako hakujua jambo lolote liwe ni kubwa au dogo.”+