2 Samweli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Wakamchukua Asaheli+ na kumzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu.+ Kisha Yoabu na wanaume wake wakapiga mwendo usiku kucha, wakafika Hebroni+ wakati wa mapambazuko.
32 Wakamchukua Asaheli+ na kumzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu.+ Kisha Yoabu na wanaume wake wakapiga mwendo usiku kucha, wakafika Hebroni+ wakati wa mapambazuko.