2 Samweli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nao wakamchukua Asaheli,+ wakamzika katika kaburi la baba yake,+ katika Bethlehemu.+ Kisha Yoabu na watu wake wakapiga mwendo usiku kucha, na nuru ikawapambazukia Hebroni.+
32 Nao wakamchukua Asaheli,+ wakamzika katika kaburi la baba yake,+ katika Bethlehemu.+ Kisha Yoabu na watu wake wakapiga mwendo usiku kucha, na nuru ikawapambazukia Hebroni.+