2 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+ 2 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akawaleta wale watu+ waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na nyumba yake; nao wakaanza kukaa katika majiji ya eneo la Hebroni. 1 Mambo ya Nyakati 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+
2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+
3 Na Daudi akawaleta wale watu+ waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na nyumba yake; nao wakaanza kukaa katika majiji ya eneo la Hebroni.
11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+