Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+

  • 2 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Daudi akawaleta wale watu+ waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na nyumba yake; nao wakaanza kukaa katika majiji ya eneo la Hebroni.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki