2 Na watu wote wenye taabu+ na watu wote waliokuwa na mtu anayewadai deni+ na watu wote waliokuwa na uchungu ndani ya nafsi+ wakaanza kukusanyika pamoja kwake,+ akawa mkuu juu yao;+ na watu mia nne wakaja kuwa pamoja naye.
12Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,