22 Hata hivyo, kila mtu mbaya na asiyefaa kitu+ kati ya watu walioenda pamoja na Daudi akajibu na kuzidi kusema: “Kwa kuwa hawakwenda pamoja nasi, hatutawapa nyara yoyote ambayo tumekomboa, isipokuwa kila mmoja atapewa mke wake na wanawe, wawachukue na kwenda.”