Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, kila mtu mbaya na asiyefaa kitu+ kati ya watu walioenda pamoja na Daudi akajibu na kuzidi kusema: “Kwa kuwa hawakwenda pamoja nasi, hatutawapa nyara yoyote ambayo tumekomboa, isipokuwa kila mmoja atapewa mke wake na wanawe, wawachukue na kwenda.”

  • 2 Samweli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na watatu kati ya wale 30+ waliokuwa vichwa wakashuka kwenda mwambani, kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ huku kambi ya Wafilisti ikiwa imepigwa katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki