13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+
9 Mara moja Daudi akaondoka, yeye pamoja na wale watu mia sita+ waliokuwa naye, wakaenda mpaka bonde la mto la Besori, na watu ambao walipaswa kuachwa nyuma wakasimama tuli.