1 Samweli 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja Daudi akasimama pamoja na watu wake, karibu watu mia sita,+ wakatoka katika Keila, wakaendelea kutembea mahali popote ambapo waliweza kutembea. Naye Sauli akajulishwa kwamba Daudi aliponyoka kutoka Keila, basi akaacha kwenda. 1 Samweli 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Daudi akaondoka, yeye pamoja na watu mia sita+ waliokuwa pamoja naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.
13 Mara moja Daudi akasimama pamoja na watu wake, karibu watu mia sita,+ wakatoka katika Keila, wakaendelea kutembea mahali popote ambapo waliweza kutembea. Naye Sauli akajulishwa kwamba Daudi aliponyoka kutoka Keila, basi akaacha kwenda.
2 Basi Daudi akaondoka, yeye pamoja na watu mia sita+ waliokuwa pamoja naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.