2 Na watu wote wenye taabu+ na watu wote waliokuwa na mtu anayewadai deni+ na watu wote waliokuwa na uchungu ndani ya nafsi+ wakaanza kukusanyika pamoja kwake,+ akawa mkuu juu yao;+ na watu mia nne wakaja kuwa pamoja naye.
13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+
9 Mara moja Daudi akaondoka, yeye pamoja na wale watu mia sita+ waliokuwa naye, wakaenda mpaka bonde la mto la Besori, na watu ambao walipaswa kuachwa nyuma wakasimama tuli.