8 Na Hushai akaendelea kusema: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba baba yako na wanaume wake ni wenye nguvu,+ nao wana uchungu wa nafsi,+ kama dubu-jike ambaye amepoteza watoto wake porini;+ na baba yako ni shujaa wa vita,+ naye hatalala usiku akiwa pamoja na watu.