Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+

  • Waamuzi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda.

  • Ruthu 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wote wawili wakaenda mpaka walipofika Bethlehemu.+ Ikawa mara tu walipofika Bethlehemu, habari zao zikavuma kote jijini,+ nao wanawake wakauliza-uliza: “Je, huyu ni Naomi?”+

  • Ruthu 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi watu wote waliokuwa katika lango hilo na wale wanaume wazee wakasema: “Sisi ni mashahidi! Yehova na amwezeshe mke anayekuja nyumbani mwako kuwa kama Raheli+ na kama Lea,+ wale wawili walioijenga nyumba ya Israeli;+ nawe uhakikishe thamani yako katika Efratha+ na kufanya jina lenye sifa katika Bethlehemu.+

  • 1 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe Yehova akamwambia Samweli: “Ni mpaka wakati gani utamwombolezea Sauli,+ huku mimi, kwa upande mwingine, nimemkataa asitawale akiwa mfalme juu ya Israeli?+ Jaza pembe yako mafuta,+ nawe uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mbethlehemu, kwa maana nimejipatia mfalme kati ya wanawe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki