Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 47:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nami nitalala pamoja na baba zangu,+ nawe unichukue toka Misri, unizike katika kaburi lao.”+ Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitafanya kama ulivyosema.”

  • Waamuzi 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwishowe Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa mwenye umri mwema wa uzeeni, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika Ofra la Waabiezeri.+

  • Waamuzi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+

  • 2 Samweli 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.

  • 2 Samweli 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Tafadhali, acha mtumishi wako arudi, na acha nife+ katika jiji langu karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu.+ Lakini, tazama, mtumishi wako Kimhamu.+ Acha avuke pamoja na bwana wangu mfalme; nawe umfanyie yaliyo mema machoni pako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki