30 Nami nitalala pamoja na baba zangu,+ nawe unichukue toka Misri, unizike katika kaburi lao.”+ Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitafanya kama ulivyosema.”
31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+
23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.
37 Tafadhali, acha mtumishi wako arudi, na acha nife+ katika jiji langu karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu.+ Lakini, tazama, mtumishi wako Kimhamu.+ Acha avuke pamoja na bwana wangu mfalme; nawe umfanyie yaliyo mema machoni pako.”