2 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baadaye Daudi akamuuliza hivi Yehova:+ “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya majiji ya Yuda?” Yehova akamwambia: “Panda uende.” Kisha Daudi akamuuliza: “Niende wapi?” Akajibu: “Hebroni.”+ 2 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Daudi akawachukua pia wanaume waliokuwa pamoja naye,+ kila mmoja na familia yake, nao wakakaa katika majiji yanayozunguka Hebroni. 1 Mambo ya Nyakati 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya muda Waisraeli wote wakakusanyika kwa Daudi kule Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+
2 Baadaye Daudi akamuuliza hivi Yehova:+ “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya majiji ya Yuda?” Yehova akamwambia: “Panda uende.” Kisha Daudi akamuuliza: “Niende wapi?” Akajibu: “Hebroni.”+
3 Daudi akawachukua pia wanaume waliokuwa pamoja naye,+ kila mmoja na familia yake, nao wakakaa katika majiji yanayozunguka Hebroni.
11 Baada ya muda Waisraeli wote wakakusanyika kwa Daudi kule Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+