Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Daudi akaondoka huko+ na kukimbilia katika pango la Adulamu.+ Ndugu zake na nyumba yote ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakashuka na kumfuata huko. 2 Na watu wote waliokuwa na shida na madeni na malalamishi* wakakusanyika kwake, akawa kiongozi wao. Watu 400 hivi walikuwa pamoja naye.

  • 1 Samweli 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Daudi akaondoka pamoja na wanaume 600+ waliokuwa naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hao ndio wanaume walioenda kumwona Daudi kule Siklagi+ wakati ambapo hakuwa na uhuru wa kutembea popote kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi, nao walikuwa miongoni mwa mashujaa hodari waliomuunga mkono vitani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki