2 Samweli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Abneri akazungumza na watu wa Benjamini.+ Pia, Abneri akaenda kuzungumza na Daudi faraghani kule Hebroni ili kumwambia mambo ambayo Waisraeli na nyumba yote ya Benjamini walikuwa wamekubaliana.
19 Ndipo Abneri akazungumza na watu wa Benjamini.+ Pia, Abneri akaenda kuzungumza na Daudi faraghani kule Hebroni ili kumwambia mambo ambayo Waisraeli na nyumba yote ya Benjamini walikuwa wamekubaliana.