21 Ni nani aliyemuua Abimeleki+ mwana wa Yerubeshethi?+ Je, si mwanamke aliyemwangushia jiwe la juu la kusagia kutoka juu ya ukuta na kumuua kule Thebesi? Kwa nini mlienda karibu sana na ukuta?’ Kisha utamwambia, ‘Pia mtumishi wako Uria Mhiti amekufa.’”