2 Wafalme 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 akaingia na kusimama karibu na bwana wake. Sasa Elisha akamuuliza: “Umetoka wapi, Gehazi?” Lakini akajibu: “Mimi mtumishi wako sikwenda mahali popote.”+
25 akaingia na kusimama karibu na bwana wake. Sasa Elisha akamuuliza: “Umetoka wapi, Gehazi?” Lakini akajibu: “Mimi mtumishi wako sikwenda mahali popote.”+