2 Wafalme 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Naye mwenyewe akaingia na kusimama mbele ya bwana wake.+ Sasa Elisha akamwambia: “Umetoka wapi, Gehazi?” Lakini akasema: “Mtumishi wako hakwenda mahali popote hata kidogo.”+
25 Naye mwenyewe akaingia na kusimama mbele ya bwana wake.+ Sasa Elisha akamwambia: “Umetoka wapi, Gehazi?” Lakini akasema: “Mtumishi wako hakwenda mahali popote hata kidogo.”+