Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.”

  • Yeremia 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, waliona aibu kwa sababu jambo walilokuwa wamefanya lilikuwa chukizo?+ Jambo moja ni kwamba hakika wao hawaoni aibu yoyote; jambo lingine ni kwamba hawajapata kujua hata jinsi ya kufedheheka.+ Kwa hiyo wataanguka katikati ya wale wanaoanguka;+ watajikwaa wakati nitakapowatoza hesabu,” Yehova amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki