Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye mfalme mwenyewe atashangilia katika Mungu.+

      Kila anayeapa kwa jina lake atajisifu,+

      Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitazibwa.+

  • Methali 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+

  • Methali 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Midomo ya uwongo ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wanaotenda kwa uaminifu ni furaha kwake.+

  • Isaya 59:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+

  • Hosea 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli nimekuwa tajiri;+ nimejipatia vitu vyenye thamani.+ Na kuhusu kazi yangu yote ya kutaabika, hawatanipata nikiwa na kosa lililo dhambi.’+

  • Matendo 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo Petro akamwambia: “Kwa nini mlikubaliana kati yenu wawili kuijaribu+ roho ya Yehova? Tazama! Miguu ya wale waliomzika mume wako ipo mlangoni, nao watakubeba na kukutoa nje.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki