6 tafadhali, tega sikio lako na ufungue macho yako ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninakutolea leo, mchana na usiku,+ kuhusu watumishi wako Waisraeli, nikiungama dhambi ambazo watu wa Israeli wamekutendea. Tumetenda dhambi, mimi pamoja na nyumba ya baba yangu.+